Recent content by Brycenmr

  1. Brycenmr

    Msaada: Naomba ushauri juu ya hizi course

    Okeeeee... Apo sawaa, skuisoma ii
  2. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Hopefully Kuna watu mnanitia moyo, I've been loosing hope [emoji27]
  3. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Hahaha, siodharau Iyo ni hoja ipinge kwa yenye nguvu zaidi[emoji16]
  4. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Hivi ni kweli? Alafu pia vipi kuhusu gharama za maisha za huko... Zenji Juusana, Kati au ni sawa tu na hii Dar/Arusha
  5. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Kwaio mfano maybe young ako akikuambia anaenda suza kupigashule utamshauri nini
  6. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Najali kutimiza ndoto kiukweli.... Hatakama hakuna shule zbar.. as long as nikiipata chance naenda kwamaana bara kuwin competition kwa vyuo vya serikali hasa kwa kozi ya Doctor of medicine ni vigumu mno Kama hujapata dv One Kali ... compared to me na ka9 sjui napata uv gani MD hapa bara
  7. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    ... sawaa.. Na pia vipi hasa kwa upande wa kozi za Afya Kama MD DDS na Nursing .. kimekaa vizuri? Na namnagani kuhusu hoja iliyoibuka ya Ubaguzi kwenye udahili kwa watu wa bara
  8. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    [emoji1732][emoji3064] Unantia wasiwasi
  9. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    [emoji3064][emoji3064]aisee, Hilo ni tatizo kubwa#... Kwani unewahi kupata taarifa kamili kuhusu Hilo?
  10. Brycenmr

    State university of Zanzibar (SUZA) Rank in school of health Tz

    Jamani Mimi ni applicant wa hiki chuo (SUZA) nipo bara.. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hiko chuo tafadhali naomba maelekezo, maoni na Ushauri pia#
Back
Top Bottom