Habari wapendwa,nina nusu heka ya shamba nahitaji kulima nyanya...je, ni kiasi gani cha pesa naweza kugharamia kuanzia ununuzi wa miche mpaka kufikia kuvuna wapendwa
Ni sawa ila sidhani kama wanatuhitaji kuliko sisi tunavyowahitaji ndugu...usisahau kuwa wao na wenzao ndio wanaopanga taratibu za dunia hii kimaendeleo na kiuchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.