Wadau wa jamii forums naombaa kuelekezwa hii kozi ya fitter mechanics inayo tolewa na veta ni kozi inayo husu kitu gani na pia ina soko LA ajira kwa kipindi hiki
Wadau wa jamii forums naomb kuuliza hivi chuo cha telecom na electronic pia na chuo cha networking kwa ngaz ya chet kwa Dar es salaam vinapatikana sehem gan na masharti ya kujiunga yapoje
Habarini wadau wa Jamiiforums naomba kuuliza hivi fani ya mitambo au ufundi mitambo unaotolewa VETA Chang'ombe ni fani inayohusu kutengeneza au kujifunza mitambo kama ipi naomba msaada wenu
Habari wadau wa JF, naomba kuchapisha Uzi huu hivi kozi ya motor vehicle mechanics inayotolewa VETA ni kozi inayohusu mambo gani na unaweza kujiendeleza baada ya kumaliza kozi hyo na kujiunga diploma naomba msaada wenu wadau
Wakuu naomba kuuliza hivi ukitaka kujiunga na veta chang'ombe kwa course ndefu ya umeme ni lazima ufanye interview kwanza na hiyo interview inakuwa ni IPI yaan ya masomo gani naomba kujua wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba kuuliza chuo cha veta chang'ombe kilicho dar es salaam kuwa usajili unaanza lini kwenye long course ya umeme na wanachukua vigezo gani vya ufaulu kwenye course hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.