Bro Rakims huyu anajua anachokiongea au anaongea ili afurahishe nafsi yake? watu kama hawa ndio wanaotukatisha tamaa an [emoji36] msaada wako mkuu kuhusu hili
BRO KUNA MTU NIMEMGUMIA ANALALAMIKA SANA SIJUI ANA SHIDA GANI? HIVI ALIVYOSEMA VINA UKWELI WOWOTE UNAWEZA ELEZEA KWA UFUPI KWA FAIDA YA WOTE PLZ [emoji120]
(mbona unawaeleza tu faida za meditation na unasahau kuwaeleza kwa kina hasara zake? Hujui kuwa ukiwa na uwezo wa kuihisi na kuiskiliza...
Bro unavumilia mengi hongera zako wazoee tu ila me kam kitu kina faida lazima nikifatilie nikijue kwa undani shukran kwa elimu hii ambao wanaona inawafaa wataftilia inshaallah [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.