Mkuu, naendelea kutathmini hizi shauri mbali mbali nilizopewa na wadau coz nimetahadhalishwa kutoingia kwa pupa kwenye hizi biashara. Hata hivyo namshukuru Mungu kamtaji kanaendelea kukua, kwa sasa nina 15milion. Nitatoa mrejesho punde nikichagua project ya kuanza nayo.
Hivi, unafahamu kuwa Canada ndo supply namba moja wa mafuta kwa Marekani kwa zaidi ya 61%? Marekani hajawahi kununua zaidi ya 3% ya mafuta kutoka Russia, hivyo gap ya mafuta atakayohitaji haizidi hiyo 3%.
Umezungumza vema. Twende kwenye uhalisi sasa, hivi investment ya 14milioni kwa sasa mtu ategemee kuzalisha faida ya kiasi gani kila mwezi. Ikiwezekana tutajie hizo projects zinazoweza kuzalisha hayo makadirio yako ya faida kwa mwezi au share with us projects ulizowahi kuzifanya versus faida...
Alhamdulillah Allah kanipa ufahamu kiasi mkuu, mpaka hapa nilipofikia kwa umri wa zaidi ya miongo 3 sijawahi kukurupuka coz sina kinachoweza kunikurupusha, kwa sababu tayari maisha ninayafahamu na ninayo.
Mkuu, napendaga sana biashara kama hii ambayo capital haiathiriki kabisa, unakuwa unahesabu net profit tu kwa kiasi chochote tu. Nipe mauzoefu katika eneo hili mkuu, inbox please!!
Ni akiba tu ambayo na jiwekea ili nifanye biashara yenye tija (productive business) pesa ipo boss wangu na kwa sasa zimeongezeka, zimefika 13mil. Wewe nisaidie tu kunishauri cha kufanya mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.