Gia pekee kwa CCM kufanikiwa katika uchaguzi ujao ni kujenga barabara tuu. Nje ya hapo ni ufisadi mtupu. Barabara zenyewe nadhani zitadumu hadi baada ya uchaguzi kwa sababu ni za kiwango cha chini mno. Baada ya kupata kura nani anajali tena!!!!!!!!!!!
Huyo JR nyuma yake kuna wahindi. Kama kweli ni tajiri wa kiwango hicho kuna haja ya kugombea hatimiliki ya usambazaji wa Windhoek? Aliwahi kuwa na kesi na Breweries huko nyuma - lakini nafikiri alishindwa. Lazima mukumbuke kila kwenye dili la ufisadi ni lazima awepo MHINDI. Hao wafadhili wakubwa...
Ndugu yangu hoja yako nzuri, lakini nani wa kusikiliza? Wanyonge wa nchi hii watateseka mpaka hapo CCm itakapoondolewa madarakani. Ingawaje hao watakaokuja hatuna hakika nao sana, lakini ujasiri wa kuwaondoa wabovu utakua umepatikana.
Kawaida hakuna Lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Kwa bahati...
Kelele za nini. Wizi ndio falsafa ya ccm. Wanapokwenda kwenye uchaguzi wananchi huichagua ccm wakijua fika wanachagua wezi. Acheni kelele - wizi kama kawa
Wahenga walisema ukicheza na -------- (ccm) atakutoboa jicho. Kwa hiyo makamanda wa cdm kuweni makini munapokutana na wapumbavu hao. Kwa hakika kifo chao ni dhahiri, swala ni muda tuu.
America is a country of double standards. Even Tanzania during Mwalimu Nyerere were not in the very good books of the Americans. What Americans are saying about Kagame, they can't say about Israel. They are supporting Al-Qaeda in Syria - that is ok. But when Kagame is dealing with Interahamwe...
Tatizo la watanzania ni kukubali kuwaachia nchi wapumbavu mpaka wakajiamini kuwa wana uwezo - kumbe hamna kitu. Huyo vuvuzela wa ccm atazunguka sana, lakini anachoshindana nacho hakijui - shauri ya upumbavu. Kwa kumsaidia kama anao uelewa ni kuwa adui namba moja wa ccm siyo chadema, bali ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.