Sina mtoto wala sipo kwenye ndoa ila nakushauri fanya kinachokupa furaha..hizi ndoa watu wamechukulia ni lazima wakati sio kweli.
Ndoa ni paradiso ndogo ndugu yangu tofauti na hapo achana na ndoano kabisa.
Hatutamani mwanaume kingono Kama nyie..sisi tunavutiwa tu na phyical apearance tena mara nyingi mnoo hasa ulienae akiwa wa kawaida.
Unakutana na mkaka road yuko vzuri balaa yaan anavutia smart ananukia afu yuko busy haonyeshi shobo..unakuta mmekaa siti moja labda kwa gari haangaiki kukusumb ua...
Endeleeni kuoa machaguo ya macho yenu..hivi mwanaume kabisa kamili unafeli wapi kuchagua ke bomba ikakusaidia majukumu?
Au ndo hizi ndoa za kukurupuka...yaan mi ngekua mwanaume nisingefeli kupata mke.
Kipindi nasoma chuo flani kuna mkaka nilikua Kila nikimuona Yuko smart balaa..Muda wote kapendeza miguuni anavaa soksi na asipovaa mguu ni msafi sana. Yaan alikuaga Kama hakanyagi chini Wala hanyi..Alikua anajipenda sana Kila ukikutana nae ni Kama ametoka kuoga anaenda mahali.
Alikuaga...
Wanaume hawajui kuna wanawake hatuwez kamwe kukuhudumia kama mume wakati hujaoa..yaan ww ni mpenzi tuu alafu unataka nikufulie nipike nideki kwako nikupe game Kila ukitaka foolish!
Wanawake 90% wakiwa na pesa za maana hawawezi kamwe kua wife material.
Mwanaume unaejielewa tafuta pesa uoe mwanamke wa hadhi yako. Mimi siwezi kuolewa na fukara mwenzangu wakati kuna mtu ana maisha anataka kunionyesha dunia upande wa pili ipoje.
Hakuna mtu hapendi pesa hata wanaume wanapenda...
Icho ndo kinanifanya nisione umuhimu wa kua sexslave...yes uo ni utumwa wa ngono wa hiari, yaan umridhishe mwanaume kwa kumpa muda wote!! Nani kasema?? Hivyo vya ghafla na vya fasta huwa ni kumridhisha mwanaume tuu ila mwanamke utakuta anasubir me akojoe aendelee na Mambo yake.
Kila mtu anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.