Habarini wapendwa.
Mm ni mwanafunzi wa board ya Ugavi na manunuzi Psptb. Nilikuwa naomba kwa wale ambao wameshasoma P3 msaada wa soft copies za notes,
Kwa wale watakao sema niende board, nmeshaenda nmepata past papers na vitabu vichache, nahitaji material zaidi.
Kwa yeyote mwenye nayo please...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.