Recent content by brazia

  1. brazia

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Si unaona sasaaa.....haya rudi kaa chini na mkeo yajengeni mlee wanenu na achana na uyo Salma.
  2. brazia

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Dah,yani kwa uandishi huu tu na hizi regrets zako unaonekana bado unampenda saaana mkeo basi tu wanaume hua mnajisahau kwa wake zenu mnahisi mkituweka ndani basi ndo kila kitu embu mpe muda kidogo ajitafakari ila usimuache please
  3. brazia

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Unadhani hata kama hayuko kazini anaweza kwenda kwa LIVINGSTONE tena? Huko aliko hata yeye anajutia saana tena ukute anafikiria namna ya kurudi kwake anaogopa
  4. brazia

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Yani wewe ndo umeongea point kuliko woote Anyway mimi pia nna jambo langu nakupm unishauri vzr.
  5. brazia

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Bado anampenda mke wake,sio vibaya kama inawezekana embu ampe nafasi nyingine walee watoto weo lakini wanaume mjue hili hadi mkeo anatoka nje ujue wewe ndo sababu kubwa hivyo wakae chini waongee kama inawezekana...sema na moyo wako pia
  6. brazia

    JamiiForums Tanzania HODIII

    Ke
  7. brazia

    JamiiForums Tanzania HODIII

    Kwann?
  8. brazia

    JamiiForums Tanzania HODIII

    Nawasubiri
  9. brazia

    JamiiForums Tanzania HODIII

    Ahsante sana babu
  10. brazia

    JamiiForums Tanzania HODIII

    Hellow mgeni hapa....
Back
Top Bottom