Recent content by Brayan_Jk

  1. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Tunawashukuru Wafugaji wa Kuku kwa hili🫶🏾💚

    Karibu boss
  2. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Tunawashukuru Wafugaji wa Kuku kwa hili🫶🏾💚

    Shukran sana
  3. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Tunawashukuru Wafugaji wa Kuku kwa hili🫶🏾💚

    Mwezi wa Aprili umekuwa mwezi mkubwa zaidi wa Fuga App tangu tulipozindua. Idadi kubwa zaidi ya watumiaji wapya kwa mwezi mmoja. Wastani wa ukuaji wa 55% kila mwezi. Na sehemu muhimu zaidi ukuaji wote ni bila matangazo ya kulipia Hakuna matangazo ya kulipa. Hakuna kampeni. Wafugaji wanawaambia...
  4. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Una malengo ya kuanza ufugaji kuku 2026? Zingatia haya kabla hujawekeza hela yako kuepuka hasara

    Ufugaji ni uwekezaji,mwanzoni lazma ugharamikie miundombinu
  5. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Naomba uchukue soda unitumie lipa namba boss
  6. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Soko ni mwanzoni,ila kuna watu wana produce zaidi ya trei 100 kwa siku na bado wanasumbuliwa na wateja sana
  7. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Kabsa
  8. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Uongo wa kutisha wafugaji hudanganyana kuhusu ufugaji wa kuku (3 itakuvunja mbavu)

    Nimefuga,na nina experience kwenye ufugaji kuliko unavyodhani, Tunaongelea facts,mkuu ingekua rahisi hvyo,vifaranga vya layers visingekua bei,wasingepoteza nguvu kusubiria watotoleshe afu wachome Tuoneshe practical yako uliyofanya,PUNGUZA MANENO!!!
  9. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Habari wadau wa JF,kama wewe ni unataka kuanza ufugaji wa kuku na unafikiria uanze wapi?....Jibu ni rahisi anza na Fuga App. Itakusaidia kujifunza na kusimamia shamba lako kiurahisi sana Ukiwa na App hii itakusaidia kujifunza kuhusu Ufugaji wa kuku maana kuna kipengele cha "Jifunze" ambacho...
  10. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Fuga App Hatimaye Ipo App Store kwa iPhone 🎉📱

    Karibu [/USER]
  11. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Fuga App Hatimaye Ipo App Store kwa iPhone 🎉📱

    Tunaomba mwaka huu uwe na changamoto chache, faida nyingi, na miradi inayokwenda kama ulivyopanga (au angalau karibu 😅). Tangu mwezi wa 6 mwaka jana, tumekuwa tukipokea swali hili mara kwa mara: “Mbona Fuga App haipo App Store?” “Lini Fuga App inakuja kwenye iPhone?” Kwa hiyo, kuna habari...
  12. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Kuacha Mkaa na kutumia Taa za Joto kwenye malezi ya Vifaranga : Uamuzi uliobadilisha ufugaji wangu

    Kwa yeyote ambaye amewahi kulea vifaranga, atakubaliana nami kuwa hatua hii ndiyo ngumu zaidi kwenye ufugaji wa kuku. Binafsi, kitu kilichonichosha sana mwanzoni ni kuamka usiku kuongeza mkaa ili kuhakikisha vifaranga vinapata joto la kutosha. Unalala kidogo, unaamka mara kwa mara, na bado huna...
Back
Top Bottom