Kwa sasa mtu anaweza kukopa kulingana na mshahara wake si kama zamani na tunakata robo tu ya mshaara, hiyo inatokana na masharti yaliyowekwa na serikali, na ikiwa utazidsha basi system itakataa, vinavyohitajika ni copy ya kitambulisho cha mfanyakazi, bank statement, salary slp na copy ya ATM.