Mi nadhan jibu mmepata leo maana kama CCM wangekuwa wameshinda kwa kuiba basi watu wangetoka barabarani kudai kura zao zilizoibiwa lkn ukimya uliotokea ni wazi unaonesha CCM ameshinda bila kuiba kura ya mtu yeyote.
Kwa kilichotokea leo kama bado hawajawaelewa watanzania basi watakuwa mabolizozo. Watanzania tumeamua kusimama na Magufuli wao wakubali au wakatae Tanzania na Magufuli tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.