hivi wanapo muona mchina mwenye nchi yake anuza vyuma gerezani kariakoo wanahisi kwanini kaja huku Mimi mtz yoyote alieko India, China, Malaysia, afu anakwambia anatafuta huwa na mshangaa Sana unashindwa kushiba kwenye sinia ushibe kwenye kijiko
ungewakosoa Mona na Richie lakini sio Roy mbona ndo roho ya Yale mashindano binafsi naimani ataipeleka mbali tasnia ya filam yaani yule jamaa simpingi miaka 1000 tena huyo kitambi jb haingii kwa Roy wema na jb hadhi yao saint kayumba Roy ni kiwango kingine
azipate wapi mi fix kibao hata mtt mdogo anakushitukia yaani kunasehemu hadi alikuwa anabug inabidi wapige tangazo sasahiv eti wanauza tape Zake sasa sijaelewa wanataka kuwafunza raia ushirikina nini
kwa alieko instagram hili jambo litakuwa limewafurahisha wengi mno coz hizo team zilikuwa zimegeuza insta yakwao yaani ole wako umlekebishe wema hata kwa mazuri basi wata screen shots pic zako utatukanwa weeeee kila tusi Kajala walimwambia amelala na baba yake huyo penny sasa eti kuna mwingine...
Mimi huyo bwana toka story imeanza nimekua mzito Sana kumuamini hasa pale aliposema kasema amekutana na shetwani mkuu dah ...... nasaivi naona imegeuka biashara tayari hapo ndo nikapoteza imani kabisaaaaa
jielewe wewe huyo ng'ombe ulo mtaja anavionjo gani wewe unavyodhani studio zilezile kisaka sijui buhemba record minyimbo yake yote mitishamba si bora hata ungesema mziki wa dogo jack wa jagwa music ama seven surviver wa kina marehemu juma mpogo kidogo ninge kwelewa mziki wa asili aliimba baba j...
Jipange kalud yupo na username yake ni kiroho safi ila sikuizi kuaccept raia nimuoga kinoma navi T-shirt vyao vya babalace sijui wachapishia pugu kinyerezi ili wawauzie wagogo hiyo nembo yenyewe ya teambibibomba kama mhuri wa ng'ombe yaani T-shirt haijavaliwa chafuuuuu..... basi utakuta mazuzu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.