Chaaaaa. .... nyie ndo wapuuzi
Hivi mnadhanigi wanawake ni wajinga saaana eee
Kama amempenda kweli kwanin wasiende nyumbani wanakaa kuzunguka gest wakati nyumba anayo mxeeeeeew.
Hata sisi tunamsoma mtu.... kama nimdhamini au nliburuzee tu!!
Maana mda mwingine mnashindwa kufikiriaa.
Kudate na mijanaume ya ajabu ajabu kazi sanaaa..... sasa hiyo gesti ya elfu 20 kushuka chini ,,ukamlaze nani!!!!!
Yaani kununua pombe tu unaona umeotoaaa.....
Jaribu kumthamin mtu hata kidogo na ujipende na we mwenyewe pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.