Bacterial infection kupitia hizo njia zingine ni kiwango kidogo sana BUT mostly ni STIs.
Vijana wa kiume tumieni Kinga. hasa nyie ambao mnakutana na wapenzi wenu baada ya kipindi kirefu kidogo.
Ninawatibu sana Mabinti wa miaka kati ya 20 - 27, na chanzo kikubwa huwa ni STIs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.