Recent content by Boss Manyota

  1. Boss Manyota

    Barabara 5 hatari zaidi duniani

    Yapo maeneo ambapo barabara ni kizungumkuti na matukio ya ajali ya vifo yamekuwa ya kawaida kabisaaa. Hizi hapa barabara 5 hatari zaidi duniani. NAMBA 5 Barabara ya Guoliang kutoka nchini China, hii ni barabara ya chini na inayopita katia miamba na inayotajwa kama miongoni mwa barabara hatari...
  2. Boss Manyota

    Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

    Mkuu hayo ni magereza hatari yanayoongoza kwa vurugu zaidi,,,yapo ambayo yanaongoza kwa ulinzi mkali ikiwemo Guantanamo Bay
  3. Boss Manyota

    Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

    List nimmeshaiweka chief,,,lilitokea tatizo kwenye kuipaste...samahani sana
  4. Boss Manyota

    Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

    Hahah,,,tatizo la kiufundi mdau ila tayari yote yapo na maelezo katika list
  5. Boss Manyota

    Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

    Nimeshaiweka, nlijisahau kidogo kuipaste hapa
  6. Boss Manyota

    Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

    Habari wana JF Nimekuwa nikifuatilia juu ya matukio ya mauaji na mateso yanayotekelezwa katika magereza dunian. Hii imenifanya kufahamu zaidi kuwa MAGEREZA mbalimbali duniani yamegawanywa kutokana na aina ya wafungwa waliopo. Hii ikiwa na maana kuwa wafungwa wakorofi zaidi duniani kuwekwa...
  7. Boss Manyota

    Undani juu ya jamii inayokula nyama za binadamu

    Hii ni hatari kwel kweli,,,kkama umetazama hiyo video, hao jamaa wanasema et wanakula wachawi lakini baadhi ya watafiti wanasema wapo watu waliopotea maeneo hayo ambao wanaaminika waliliwa na hilo kabila
  8. Boss Manyota

    Undani juu ya jamii inayokula nyama za binadamu

    Hahaha! hata kama hakuna kisicholiwa ila hapa ni hatari zaidi
  9. Boss Manyota

    Undani juu ya jamii inayokula nyama za binadamu

    Habari wana JF, Ni dhahiri kuwa kila jamii ina upekee wake katika mila, desturi, utamaduni pamoja na aina ya maisha inayoitofautisha na jamii nyingine. Kuna baadhi ya maneno na mashapisho mbalimbali ambayo tumekuwa tukikutana nayo ara kwa mara juu ya jamii mbalimbali na wakati mwingine...
  10. Boss Manyota

    Undani juu ya jamii inayokula nyama za binadamu

    Jamii mbalimbali duniani zimekuwa na tamaduni za kipekee ambazo zimekuwa kwa kiasi fulani kuwa kama historia ama hadithi za kusadikika licha ya baadhi ya watu kuhusisha moja kwa moja na ukweli. Nchini Papua New Guinea ndiko linalopatikana kabila ambalo limekuwa likihusishwa na ulaji wanyama za...
Back
Top Bottom