Recent content by Boro young

  1. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu Mbet via wallet wanakubali hadi jero.
  2. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkeka niliuscreenshot tangu Jana. Ntapambana nao tu.
  3. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ninajiandas kuwashtaki Mbet huu ni utapeli mbona mikeka mingine niliyoshindwa wamenikata hela kama kawaida. Nimeanza kukata tamaa na hawa mbet.
  4. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau Nina jambo limeniudhi sana jana nilibet timu 13 nikaweka tsh 500 na timu zote nilizobashiri zikashinda leo mbet wananiandiakia mkeka wangu ni invalid wananirudishia 500 kwa kweli nimeshangaa na pesa niliyotakiwa kushinda ni tsh 585,867
  5. B

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mark Clattenburg to referee the Champions League final | Real Madrid CF
  6. B

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Fainali pale Milan ndoo tunaichukua kiulaini tu. Time will tell. Kwenye Uefa atletico ni wachumba tu kwa real Madrid. Congratulations to all my fellow madristas for reaching to 2015/16 Uefa champions league final in Milan.
  7. B

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Time zinakimbia balaa, it is now about an hour for the game to start. Halla madrid. Najua ushindi ni lazima.
  8. B

    Msajili Hazina amkana CAG umiliki wa PRIDE. Adai hakuna nyaraka zinazoonyesha inamilikiwa na Serikali 100%

    Msajili wa Hazina kama simuelewi kabisa. Tangu kutoka kwa ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali amekuwa mkosoaji namba moja kitu kinacholeta uwalakini mkubwa .
  9. B

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hope kipindi cha pili timu itafanya yake. Halla Madrid.
  10. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Newcastle win, Watford win, na Monaco win.
  11. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bayern, Dortmund, real and besiktas all to win.
  12. B

    Serikali Mbona Inaogopa Kuliunga mkono Jiji Kuipata UDA yao?

    Mkuu ebu jaribu kusoma hapa Sakata la Uda laivuruga Serikali
Back
Top Bottom