Recent content by Booster12

  1. Booster12

    Mshambuliaji wa KMC FC Mateo Antony, wewe ni 'Mnafiki' na zaidi ya 'Yuda Iskarioti' katika Biblia

    Jamaa aina ya uwasilishaji wa jumbe zako zinaonesha una shida kubwa ya kiakili
  2. Booster12

    Mkimwacha Nabi bila msaada na hawa wachezaji wetu hata mechi za ndani sisi Yanga hatutoboi

    Ukiwatoa wachezaji, viongozi na hao sapota neno team kinakamilika vipi?
  3. Booster12

    Eng. Hersi, Senzo na Kocha Nabi tunaomba mtuachie klabu yetu!

    Kipindi hao uliowataja hawapo team ilikuwa na mafanikio gani kimataifa??
  4. Booster12

    Amri Kiemba kahama Clouds?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Booster12

    Nini faida ya mgeni rasmi kwenye mpira wa miguu?

    Ile picha ya pamoja ilikuwa inachukuliwa kama ushahidi wa wahusika kuushuhudia mchezo Zamani kulikuwa amna azam tv ukiritimba pia ulikuwa mwingi so kamishna wa mchezo ni shuhuda namba katika kutoa report ya mchezo husika lakin kwa sasa ni vitu ambavyo vimepitwa na wakati
  6. Booster12

    Dakika 90 leo, kufahamika Geita Gold CAF

    Watalala yoooh[emoji12][emoji12][emoji12]
  7. Booster12

    Kocha wa Simba apunguze ujuaji, haijui Simba

    Na ndio uhalisia upo ivyo
  8. Booster12

    Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

    Wanasahau figisu alizokuwa anafanya messi kwa akina ibramovich
  9. Booster12

    Yanga Kusimamisha Nchi Kesho Saa 5:00 asubuhi

    Kuna uwezekano mkubwa mkutano wa Yanga leo na waandishi habari ukatumika kumtangaza Ally Kamwe kwenda kuwa afisa habari wa Yanga.
  10. Booster12

    Mbwana Samatta arejea GENK

    Kwa kweli aisee
Back
Top Bottom