Halafu nyie mashabiki ya simba sijui mnalaana maneno ya karia niya kufurahia? Kwa hiyo nimefurahi majibu yake ambayo wazee wasimba walisema karia tumemweka.madadarakani lakini as hatusaidii sawa haya ngoja tuone .karia mtamtoa nyinyi simba siyo yanga mda.utaonge
Hayo
Hayo ndiyo yanadhihirisha pale wazee wasimba walipo fungwa na yanga walititisha kikao cha wazee wasimba na kumlaumkaria kuwa tumemsaidia kuingia pale tifutifu lakini yy hatusaidiiwanaayanga amkeni karia kaanza kuwasadia rasmi sasa simba
Najiulizahvi simba angecheza na Mburahati queins na Mburahati queins wangefanya kama wanavyodai kuwa meneja wauwanjakawazingua natimuhaipeleki uwanjani je ingekuwa Mburahati guein wasingepekeja timu uwanjani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.