Recent content by Boniface Christopher

  1. Boniface Christopher

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Asante. Ila naomba kujua ukifika tu pale Getini kama kuna kiingilio ni shingapi..na huko juu ni shingapi. Wabeba mizigo ni Sisi wenyewe. Tunahitaji mtu wa kutuongoza tu. Na kufika juu ni max siku ngapi
  2. Boniface Christopher

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Habari zenu wadau. Naomba kujua gharama za kupanda mlima Kilimanjaro kwa watanzania. Kiingilio ni shilingi ngapi? Gharama za tour guider ni shingapi kama ni lazima kuwa nae, na kama kuna vingine ambavyo ni muhimu kujua naombeni msaada. Asanteni wadau.
Back
Top Bottom