Recent content by Bongotunacheza

  1. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Na kuna watu wanasema ana madeni pia harusi ilimuacha na madeni
  2. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Duh aisee kama ni hivyo basi ana haki ya kukonda
  3. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Chezea harusi tatu na sherehe kila wiki na zote utoe hela wewe halafu hela inatoka tu haingii lazima uwe stressed. Mwili haudanganyi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Umeanza ubishi wako mkuu? Are u okay kweli? Maisha yako magumu eti eeh?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Janaw nimekesha nacheka tu kama mazuri
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Inaitwa from Dar to Lagos
  7. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Aisee ni hatari
  8. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Halafu ukitazama kwa kina utaona ni ujinga ujinga tu huo Jux anafanya
  9. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Sio AI mkuu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Ameyakanyaga
  11. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Nani Gen Z hapa?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Kumbe Imani zao nyingine ni zipi? ( za asili)
  13. B

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Mitandaoni kumeibuka mjadala kuhusu muonekano wa msanii wa Tanzania, Juma Jux, baada ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kudai kuwa msanii huyo amepungua uzito kwa kiasi kikubwa. Baadhi ya machapisho yameambatana na picha na video zake za hivi karibuni, huku watumiaji wakijiuliza...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Hii haina comeback... Mkuu LIKUD akikujibu nitag please
Back
Top Bottom