Yes.. Nawashangaa sana wa Tanzania wanao taka kukimbilia huko wakati wenyewe wanapakimbia.. Wa Tanzania wengi wanaoishi Marekani wanapitia magumu sana ila wanajitutumua hawasemi
Kuna sista wetu yupo Marekani tangu 1999 anataka kurudi bongo na anasema hatorudi tena Marekani japo ana uraia tayari.. Nyumba zake zote kajenga bongo. Anasema kujenga nyumba Marekani ni wizi mtupu. Kwanza hununui nyumba unachukua mortgage ambayo utatakiwa kuilipia kwa miaka 30 na baada ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.