Yes.. Nawashangaa sana wa Tanzania wanao taka kukimbilia huko wakati wenyewe wanapakimbia.. Wa Tanzania wengi wanaoishi Marekani wanapitia magumu sana ila wanajitutumua hawasemi
Kuna sista wetu yupo Marekani tangu 1999 anataka kurudi bongo na anasema hatorudi tena Marekani japo ana uraia tayari.. Nyumba zake zote kajenga bongo. Anasema kujenga nyumba Marekani ni wizi mtupu. Kwanza hununui nyumba unachukua mortgage ambayo utatakiwa kuilipia kwa miaka 30 na baada ya miaka...
Siwezi nunua Malaya mwenye 24 plus never.. Hao wa Exotic wote Malaya wazee.. 30 plus wengi.. Hivyo vitoto unavyo visema ndo ninavyo Vila huku mtaani.. Hujui hata nuru ni nini.. Naona upo slow ngoja nikusanue. Nalomha hao watoto kwa sababu wana nyota.. Nikilomba mmoja kama Leo haipiti wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.