Recent content by Bongotunacheza

  1. B

    Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Mtoto anaweza kutoka nyumbani amekula na anapewa hela ya kula vitu vinavyo uzwa shuleni kama visheti nakadhalika
  2. B

    Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Chakula kinawekwa kwenye maplastick Jambo ambalo ni hatari kwa afya pia
  3. B

    Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Walimu wa shule za Kayumba wamegeuza watoto mitaji.. Mtoto bila kwenda shule na Mia tano ya chakula plus Mia tano ya mitihani anapigwa sana au haruhusiwi kuingia darasani. Shule zingine bila buku getini mtoto haruhusiwi kupita getini. Mbaya zaidi hadi wakati wa likizo kama huu walimu...
  4. B

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Unawaonea waislamu tu mbona hata waganga wakristu wapo wanaua watu kichawi? Tens hakuna waganga wabaya kama wakristu. Kuna mmoja yupo Mahenge huko, wanawake wa mjini Daslam na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Mganga mwenyewe ni wale waganga ambao wanaua kabisa jina lako likipelekwa...
  5. B

    Namna ya kuanza Biashara ya kununua na kuuza vitabu

    Ukiandika kuhusu uchawi utauza kopi nyingi sana wa Tanzania wanapenda uchawi mno
Back
Top Bottom