Huu nao ni mjadala ambao unachukua nafasi kubwa sana miongoni mwa " Thinkers" Kama inavyo jidhihirisha kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani. Mjadala huu unaenda kwa title ya " Human Beings are a Mistake of God ( the gods) ".
Thinkers wanao amini katika dhana hii wana toa hoja kwamba...
Kusema Mungu hayupo hai make sense. Ni ngumu Sana kwa viumbe kama binadamu ambao wapo so complex and organized kuwa wametokea tu duniani bila kuwa na chanzo. Ni ngumu Sana kwa vitu kama mifumo ya jua mwezi etc kuwa jmetokea tu bila kuwa na chanzo. Chanzo Kipo Ila sasa je huyo chanzo ni mwema au...
Baadhi ya maoni ya wadau @Quora 👇👇👇👇
Is God evil? I have a lot of theories suggesting that he is. If you believe this, is there any proof to back this up?
To be fair he did flood the entire world and kill almost everything, send seven plagues onto egypt simply because the pharaoh was being a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.