Walimu wa shule za Kayumba wamegeuza watoto mitaji.. Mtoto bila kwenda shule na Mia tano ya chakula plus Mia tano ya mitihani anapigwa sana au haruhusiwi kuingia darasani. Shule zingine bila buku getini mtoto haruhusiwi kupita getini.
Mbaya zaidi hadi wakati wa likizo kama huu walimu...
Unawaonea waislamu tu mbona hata waganga wakristu wapo wanaua watu kichawi? Tens hakuna waganga wabaya kama wakristu. Kuna mmoja yupo Mahenge huko, wanawake wa mjini Daslam na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Mganga mwenyewe ni wale waganga ambao wanaua kabisa jina lako likipelekwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.