Recent content by Bongotunacheza

  1. B

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Kapaina mtoe hapo hiyo mstari wa mbele ni utopolo.. Watu walkuwa wanamsifia kwa kumuogopa
  2. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    So he is also evil? Or capable of doing evil or allowing evil to occur?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Yes kabisa mkuu upo sahihi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Duh ur making a lot of sense.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Je, Binadamu wapo duniani kimakosa? (walikosewa kuumbwa?)

    Kwanini binadamu yupo duniani? Kwa mtazamo wa kila falsafa
  6. B

    JamiiForums Tanzania Je, Binadamu wapo duniani kimakosa? (walikosewa kuumbwa?)

    Huu nao ni mjadala ambao unachukua nafasi kubwa sana miongoni mwa " Thinkers" Kama inavyo jidhihirisha kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani. Mjadala huu unaenda kwa title ya " Human Beings are a Mistake of God ( the gods) ". Thinkers wanao amini katika dhana hii wana toa hoja kwamba...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Majibu yako lakini kama yapo wazi vile.. Umeshakiri kwamba ni muovu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mungu ni Muovu au sio muovu? Kwa maoni yako.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mungu alieumba vitu vyote..
  10. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mungu ni Muovu au sio Muovu? Kwa maoni yako...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Kama nakuelewa vile. secretarybird Veteran Sailor
  12. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Kwa maoni yako ya sasa unadhani kwanini tupo duniani na je tumeumbwa ama tumetokea kwa bahati mbaya?
  13. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Asante mkuu kwa majibu mazuri na yenye kutia matumaini but swali, Mungu hawezi kudhihirisha ukuu wake kwa njia nyingine bila kuhusisha uovu?
  14. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Kusema Mungu hayupo hai make sense. Ni ngumu Sana kwa viumbe kama binadamu ambao wapo so complex and organized kuwa wametokea tu duniani bila kuwa na chanzo. Ni ngumu Sana kwa vitu kama mifumo ya jua mwezi etc kuwa jmetokea tu bila kuwa na chanzo. Chanzo Kipo Ila sasa je huyo chanzo ni mwema au...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Baadhi ya maoni ya wadau @Quora 👇👇👇👇 Is God evil? I have a lot of theories suggesting that he is. If you believe this, is there any proof to back this up? To be fair he did flood the entire world and kill almost everything, send seven plagues onto egypt simply because the pharaoh was being a...
Back
Top Bottom