Recent content by BongoNets

  1. BongoNets

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Nadhani wengi bado mnaikumbuka MK Group (Wana wa Maghorofani)! Natafuta jina la albam ambazo zilikuwa na nyimbo kama vile Jua la Asubuhi, Kibela, Nishike Mkono n.k., listi ya albam na nyimbo zake itasaidia.
  2. BongoNets

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Katika jitihada za kuhifadhi nyimbo na bendi zetu za zamani, nimenzisha mtandao ambao ninakusanya nyimbo hizo na kuzipanga kulingana na albam. Tembelea www.zilipendwa.com ili utoe mawazo yako na kusikiliza baadhi ya nyimbo hizo.
Back
Top Bottom