Nadhani wengi bado mnaikumbuka MK Group (Wana wa Maghorofani)! Natafuta jina la albam ambazo zilikuwa na nyimbo kama vile Jua la Asubuhi, Kibela, Nishike Mkono n.k., listi ya albam na nyimbo zake itasaidia.
Katika jitihada za kuhifadhi nyimbo na bendi zetu za zamani, nimenzisha mtandao ambao ninakusanya nyimbo hizo na kuzipanga kulingana na albam. Tembelea www.zilipendwa.com ili utoe mawazo yako na kusikiliza baadhi ya nyimbo hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.