Utukufu kwa Mungu watoto wadogo upona kwenye ajali kwa sababu miwili yao inakubali kuviringika wakati wa mgongano thus upata madhara madogo, kiroho pili ulindwa na malaika
Shetani ni mungu wa dunia hii kwa wasio na Yesu,So alitolewa ili kuleta ukombozi wa mwanadamu dhidi ya dhambi.
So Yesu ni sadaka ya upatanisho baina ya Mungu na mwanadamu
Hilo tendo halina thamani Wala heshima kwa asiwe wako wa ndoa.
Uzinzi hauna heshima zaidi ya kuambukizana laana na mikosi kwenye maisha hata kama mtafanyia kwenye hotel ya kifahari.
Wenzetu ulaya wana system nzuri za malezi kwa wazee zinaitwa nyumba za malezi nchini wanazo wakatoliki tu kwa ajili ya mapadre.
Haya mambo ya kuacha wazee wajifie kwa shida zao ikiwemo njaa na magonjwa ndio laana zenyewe mambo hayaendi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.