KARIBU MKURUGENZI MKUU TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA
Tuombe kuwashukuru wasomaji wa nyaraka zetu za “Nani Atakayeiokoa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania” na pia kwa maoni yenu yenye kujenga Tume yetu na Taifa kwa ujumla. Kisha kwa unyekevu wa hali ya juu wafanyakazi tuombe kuwashukuru sana...
Uko sahihi ndugu na asante kwa takwimu maridhawa. Hii Taasisi ni muhimu sana kuelekea kwenye uchumi wa viwanda kama Mh Rais anavyotaka pamoja na usalama wa nchi ila watu wamepageuza sehemu ya kupigia dili na kunyanyasa wengine.
Haya mambo yakichunguzwa ukweli wake uko wazi na tutatoa ushirikiano, mtu kama huyu hapendi mambo ya kona kona wala mambo ya chini ya meza na huwa anapenda kutendea haki kila mtu sasa wenyewe watu wa namna hii hawawataki hata kidogo badala yake utahamishiwa mpakani ukakate invoice kwa...
Huyu Kaimu Mkurugenzi Mkuu aliletwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ana zaidi ya mwaka ana act hiyo nafasi.
Bodi ya wakurugenzi kuna baadhi ya mambo tunaamini inayafahamu vizuri na inao uwezo wa kuyafanyia kazi kwa haraka sana.
Tuwashukuru tena wasomaji wetu wa nyaraka hizi za “Nani atakayeiokoa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania” kwa muda wenu mnaoutumia kusoma na kutusaidia kupeleka ujumbe wetu kwa wanaohusika na kuiokoa Tume hii. Kwa kweli mmekuwa msaada mkubwa maana wanaohusika kwa nafasi tofauti wameanza kuchukua...
Tuwashukuru tena wasomaji wetu wa nyaraka hizi za “Nani atakayeiokoa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania” kwa muda wenu mnaoutumia kusoma na kutusaidia kupeleka ujumbe wetu kwa wanaohusika na kuiokoa Tume hii. Kwa kweli mmekuwa msaada mkubwa maana wanaohusika kwa nafasi tofauti wameanza kuchukua...
Ndugu watanzania, wafanyakazi wa Tume ya Nguvu za atomiki Tanzania -TAEC tunatoa shukrani zetu kwenu kwa kusoma waraka wetu wa sehemu ya kwanza ya Nani atakayeiokoa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania”. Usomaji wenu umekuwa ni mchango mkubwa wa mabadiliko katika Tume yetu. Kwa nia ya pekee...
Imagine kuna aliyekua mfanyakazi wa Tume na Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wakati huo kabla hajahamishiwa kuwa mwalimu wa chuo aliwahi kuongea mbele ya Waziri na waandishi wa habari kuhusu mambo yanayoendelea ndani ya Tume lakini kilichofuata anajua ni kumhamisha na hamna hatua zozote...
Mamlaka husika kama Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ambayo inasimamia Tume, Ofisi ya Rais, TAKUKURU na wengineo wakichunguza watapata majibu watu wako tayari kutoa ushirikiano hilo halina shaka yoyote na ushahidi upo.
NANI ATAKAYEOKOA TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA
Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania ni Taasisi ya serikali iliyoundwa kwa sheria ya Nguvu za Atomiki Na. 7 ya mwaka 2003. Tume hii inayo majukumu makubwa mawili yakiwa ni kusimamia matumizi salama ya vifaa vyote vinavyotoa mionzi ayonisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.