Ahsante sana Mkuu wangu. Naomba kuuliza tena,Mvomero ni sehemu gani kunakopatikana mashamba makubwa ya kukodisha? Naomba unitajie kwa majina kwamfano kijiji,kata au hata tarafa ili siku nikifika pale Mvomero nijue pakuelekea moja kwa moja.
Wakuu shwari?
Naomba mwenye taarifa zaidi kuhusu haya mabasi ya Kimotco Express. Kuna ndugu yangu amekata tiketi kwenye basi hilo kutoka Arusha kwenda Mbeya, nauli TSH 55,000. Kwa wale ambao wamewahi kusafiri na mabasi ya Kimotco Express hasa ruti ya Arusha to Mbeya, vipi kuhusu huduma zao kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.