Recent content by Bokina

  1. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    Jamani mimi sio dalali, Nina kiwanda changu kipo Dodoma Lita 5 Tsh. 19,000 Lita 20 Tsh. 64,000 Ni afuta mazuri sana Label ni Dodoma Sunflower, Double purified, hayajachakachuliwa, ukitaka kujua alizeti iliyochakachuliwa weka kwenye friji, yale mengine yataganda alafu alizeti itabaki...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    Nina process mwenyewe, kwa sasa nina litre 15,000. Kwa mtu ambae yupo serious please PM me ili tupeane mawasiliano na kuongea biashara kirefu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    PM me kwa mawasiliano zaidi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    Nipo dar, nimepack kw lita tano tano na 20, bei itategemea na kiasi cha mzigo utakao chukua.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    Asante, ngoja nikatafute hizo ABCs then nitarui kutangaza biashara....
  6. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

    Ndugu wapendwa, Ntafuta wateja wa mafuta ya Alizeti. Yeyote mwenye kujua soko zuri la mafuta haya naomba tuwasiliane.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Hello

    Asante sana Wa - Ukenyenge.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Hello

    Hello to you all JF members..............
Back
Top Bottom