Recent content by Boeing 747

  1. Boeing 747

    Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    We unahitaji malaikka..na sidhani kama malaika wanaishi kwenye hii nchi ya Chadema na sisiemu
  2. Boeing 747

    Mwanamke Mwenye Mlima Kama Huu Huo Ujasiri Wa Kuchit Atautoa Wapi Kwanza

    Upumbafu tu...kwanza huwa yananuka sana haya
  3. Boeing 747

    Mtoto ana mwaka na miezi 7 na mama yake ana ujauzito ila afya ya mtoto kama inazorota

    Pole...hilo janga liliwahi kunikuta... Njia pekee ya kumnusuru huyo mtoto wa mwaka na miezi 7 ni kumuachisha kunyonya.. Maziwa ya mama yake si salama tena kwa sababu mwili wa mama umeshabadilika mfumo wake kwa sababu ya ujauzito... Tena hali hiyo kama mtoto ni mdogo sana anaweza kushindwa...
  4. Boeing 747

    Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

    Changamoto ya nchi yetu watu hawapendi kusoma na kufanya research... Mafundi ingekuwa ni wasomi na wanajielewa na wanataka kuboroesha taaluma zao, basi wangefanya utafiti ni kwa nini hizi gari za Nissan Dualis zikifika tu Bongo, changamoto yake ni kuungua.....na ni kwanini haziungui zikiwa...
  5. Boeing 747

    Tatizo la gari kushtukashtuka

    Pole kwa mkasa...Kwanza plugs za Nissan mara nyingi ni NGK za Iridium... Ziwe doble iridium yaani zina ncha mbili zinatazamana kwenye upande wa ground na centre kama inavyoonekana hapo kwenye picha.. Nissan hazitaki plug za TOYO.... NGK double iridium ni ghali, ukizipata hazipungui 40k kwa...
  6. Boeing 747

    Kwanini wanaume wananunua dada poa?

    Siku ukioa Siku ukioa utajua...
  7. Boeing 747

    Gari tatu (3) za Toyota ambazo Design yake ilikua from Future

    Aisee, tunatofautiana kupenda...ile gari siipendi design yake ya hapa nyuma. ..inakuwa kama mwanamke mwenye hipsi..🤦🤦
  8. Boeing 747

    Gari yangu inachemsha hata ikitembea KM 20

    Aise pole sana.. Kwa sababu umesema kuna wakati inawasha CEL,, Nenda kafanye diagnosis.... Unaweza ukakuta Coolant Temperature Sensor imekufa, hivyo inqshindwa kutoantaarifa ili feni iwake kwa wakati.. Au huenda feni yako ina shida, huenda inafunguka ila siyo sana.
  9. Boeing 747

    Je, ni wazo zuri kubadili gari kutoka Toyota Vanguard 2011 kwenda Nissan Extrail Third Generation ya 2016?

    Ingejenga hoja kwamba spea za Toyota zinapatika kirahisi ungeeleweka... Toyota ya mwaka 2011 zinawapasua kichwa mafundi kanjanja... Teknolojia ya hiyo toyota ya 2011 na hiyo Nissan ya 2016 hazijaachana kivile... Hizo ni gari za kutumia diagnosis kabla ya kupiga nyundo...
  10. Boeing 747

    Wake zetu kutunyima, hii ina maana gani?

    KUJUA UNDANINSANA WA MKEO NI TIKETI YA BURE KWENDA KIFONI AU KIFUNGONI... Hii dunia tamu sana.. Hebu vuta picha unaendesha kagari kako speed 50 hutaki shida, huku unatafuna kuku wa kuchoma, unamshushia na kinywaji ukipendacho, wakati huo kwenye gari unasikiliza kamziki flani amaizing...
  11. Boeing 747

    Wake zetu kutunyima, hii ina maana gani?

    Hilo mimi sitaki kujua.... watoto wangu bado wananitegemea
  12. Boeing 747

    Wake zetu kutunyima, hii ina maana gani?

    Na ukifuatilia mkuu utagundua 95% ya ndoa hazina furaha.... Mbaya sana kunyimwa penzi na mwenza wako na upo chumba kimoja...inaumiza sana
  13. Boeing 747

    Wake zetu kutunyima, hii ina maana gani?

    Hawa viumbe hawaeleweki bro... Unaweza ukawa na hela, na isisaidie.....hawajulikani wanataka nini na wao wenyewe hawajui wanachotaka.. Ninachojua mwanamke anaweza kukaa na wewe inafikia mahali anakuzoea kama kaka yake....na gisia zake zinaisha, upendo wake unahamia kwa watoto wake na ndugu zake...
  14. Boeing 747

    Nini faida ya manyoya katika dashboard?

    [emoji3][emoji3][emoji3]umeandika nilichotaka kuandika..
Back
Top Bottom