Ukiitwa mtanzania anza kujilaumu kwa maana English hatujui kiswahili mpaka tunawekewa penati Sasa kichina tutakiweza kweli. Serikali fikirieni Mara ya pili mnaweza kuwa mlikosea kufikiri kwa Mara ya kwanza. Tusidanganyike na ubia tukasahau uwezo wetu WA kielimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.