Acha ujinga usiongee kama mtu aliyebanwa mavi.Yesu mwenyewe aliwaambia mayahudi kama nikikaa kimya mawe yataongea lazima kuwepo na upinzani ili kuidhibiti na kuikosoa serikali haijalishi nguvu yao yatosha mtu mmoja akaona makosa na asinyamaze mradi anenayo ni kweli pasipo na upinzani hata wewe...
Mbona naona kama makosa ni almost hayohayo kwa kila kituo lakini adhabu au fine zinatofautiana ukiangalia fine anayotozwa star tv hailingani na vituo vingine ilihali makosa yanafanana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.