Siasa za majitaka hizo tumeshazizoea!, ila kwa heshima nliyonayo kwa mwigulu hapa ametuaibisha watanzania tunataka kuskia kuhusu sera za madini yetu kwanin hatunufaiki,,kwanin sis bado ni ombaomba mpaka sasa,.kwanin elimu yetu inazidikuporomoka,, na mengne mengi,, yeye anatuletea mipasho na...