Mimi sio mshabiki ila ukifwatilia utagundua kua wakina Zito wanamambo yao binafsi wanapenda umaarufu, wanapenda vyeo,,hawakua na teamworking na waliokua nao kwn Chama, kwanza kwanin mawazo yao wasingekua wanapeleka vikao usika kama wanataka jenga chama??? Wafie mbali au waanzishe chama chao,
Siasa za majitaka hizo tumeshazizoea!, ila kwa heshima nliyonayo kwa mwigulu hapa ametuaibisha watanzania tunataka kuskia kuhusu sera za madini yetu kwanin hatunufaiki,,kwanin sis bado ni ombaomba mpaka sasa,.kwanin elimu yetu inazidikuporomoka,, na mengne mengi,, yeye anatuletea mipasho na...
Nasema hivi wanaotoa coment hapa kupinga harakati za cdm ndowanaorudisha nchihi nyuma,.nchi hi bilachama chenyenguvu cha upinzani, bas ccm watatembea badalayakukimbia,.chadema hoyeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.