kuna vitabu wamepewa polisi watoe kopy vinaitwa moduli kwa mujibu wa wenyewe kuna notes nyingi humo ambapo inabidi wazisome na kujibu mitihani na wameambiwa usipokibu hiyo mitihani hupati cheo sasa wapo bize kwenye hayo maana kila mtu anataka cheo kuna maeneo nimepita huwa wanaekaga point leo...
msione majambazi wanatamba mitaani tatizo polisi wapo bize kufanya mitihani ya moduli ili wapate vyeo leo nimeenda kituo kimoja nimekuta wapo bize na mitihani huku raia wakiwa wamejazana kituoni kutaka huduma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.