Shibuda kweli anaonekana ni mroho wa madaraka na fedha maana alihama CCM kwenda CHADEMA baada ya kuenguliwa kwenye kura ya maoni sasa analilia posho kupitia CHADEMA wahusika naomba mumchukulie hatua kwani anadhalilisha chama na anavunja umoja wetu.Angalieni CCM wanavyoshirikiana kuwaua wapinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.