T
Halafu Shemegi yangu mzuri mzuri naomba ufute sehemu zote ulizonikwoti basi na ukitaka ya usumbufu ipo daa nahisi walinichanganyia kitu kwenye kinywaji changu Mimi sio. Wa hivi
Hebu FUTA hii bana.
Wewe umepaniki tu sbab ulidhani Mimi sijui kama unatumia JF ila nimefanya nilicho Fanya sbabu najali na sifurahii wewe kuwa huku unajifunza vitu vibaya vinakubadilisha niamini na watu wengi wa mitandaoni sio wazuri has wanaume ni jukumu langu kukulinda usiharibikiwe.Kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.