The Boss
Ni hivi mie pia sijui habar za masoko lakin kwa mfano hapa nachingwea wanalima ufuta wachina wanasafir kabisa kuja hapahapa wanakuwepo kwenye maghala ya mazao wanakuwa wananunua ufuta wa wakulima pia mbaazi nazo ni vile vile walikuja wakenya wakanunua mbaazi kwa bei nzuri sana ndo...
Hahahhahaha nimecheka sana wadau wangu eti aendelee kunywa gahawa yah sasa hivi rate nmb imeongezeka nadhan kwa sababu wanahitaji deposit mie niliweka 2013 na 2015 nadhan watakuwa na mabadiliko makubwa sanaaaa jitahid upite bank mwenyew ufanye compile zako then fanya decision ta ua money na...
Tupe ka ushahid kako kwa hao access bank maana kila bank ina rate zake kwa mfano mie nilishawai kuwwka fixed mil20 kwa miez mitatu nikapata faida ya 304,000 sijui vile ilikuwa 5% so fixed pia inatokana na amount na time pia coz wanaziweka hela kwwnye range ya hapa mpaka hapa ndio hivyo.... na...
Na pia akumbuke dola nazo zinapanda na kushuka kila siku so ategemee yote pia kuweka fixed hela ni lazima uwe nayo cash sio ya kuweka mara kwa mara so mdau jiandae na cash yako mkononi watakutunzia vizuri tu....faida ni ndogo sana kikubwa ua money will be safe na utatimiza malengo yako kwa wakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.