Nashukuru sana JF members mlichangia mada hii kwa moyo wa dhati ili kutoa mwongozo mzuri kwa maana ukimsaidia mwenzio ni busara, pia akuonae sirini atakufungulia.
Nimeitwa na hawa watu japo. natakiwa kulipa 10,000Tsh, kama Registration fee kwenye interview. Tafadhali ndugu aliye na ufahamu kuhuhusu hii company anisaidie kunifahamisha ili nijue nipate uamzi sahihi wa kutoa hiyo ada au LA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.