Mpaka sasa tulio site tunadhibitisha kua program ya BBT Ni Kati ya program zinazoenda kutoa suluisho la ajira kwa Vijana, Uhaba wa chakula katika nchi yetu.
Serikali imezingatia Mambo manne ambayo yameku changamoto kwenye sekta ya kilimo na kwa Vijana.
ELIMU: Serikali inatoa elimu kwa Vijana...
Wakuu habari..
Nipo Moshi, nina gari aina ya IST natamani kutumia gari hii inizalishie tofauti nakuitumia kupigia misele mjini.
Naombeni wazo ni bidhaa gani naweza kusambaza kwa wateja kwakutumia hii gari nikapata kipato..
Wakuu kwema
Nahitaji toyota IST isiwe na tatizo lolote namba iwe C nakupanda juu, Bajeti yangu ni 5M Njoo chapa tufanye biashara.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.