Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alisema kuwa "ufisadi na rushwa ni adui mkubwa zaidi wa maslahi ya wananchi wakati wa amani kuliko vita" (Bungeni, Mei 17, 1960, kikao cha 35 cha bajeti).
Huu ndiyo ukweli wa mambo. Hebu tulia kwenye luninga yako ufanye utafiti wa matangazo yote ya kuihamasisha jamii kuhusu uchaguzi mkuu 2010 pia fungulia redio yako fuatilia matangozo yote ya kuhamasisha jamii kuhusu uchaguzi mkuu kisha tuletee matokeo ya utafiti wako hapa JF. Ukumbuke kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.