kwanza mshukuru Mungu kuwa huyo mwanamke alipuepusha na balaa baada ya kujiona yupo+. cha muhimu piga chini, jipe muda tafuta mwingine maisha yaendelee.
ukipanda ganja huwezi vuna mchicha, sisi tulilaani sana Gwajima kupewa ubunge wa kawe, infact bora hata wangempa Benjamin Sitta ila Mwendakuzimu akaamua kumpa huyu kichaa wa sukuma gang. Kwanza huyu lofa hakuwa CCM tangu mwanzo anajulikana misimamo yake ya kisiasa. Namshauri raisi na CCM wamvue...
Wakati shughuli na michakato ikiendelea jijini Dodoma kumchagua Mwenyekiti wa chama napendekeza Katibu Mkuu wa CCM awe Mzanzibar maana huyo ndo atakayeendana na Mwenyekiti. Hoja ya pili hapa ni kwa sababu ni muda sasa hatujapata katibu mkuu kutoka upande wa pili wa muungano. Napendekeza Dk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.