i) Ndio mkuu yani unakuta wanafunzi wanasomeshwa vitu vingi ambavyo vimepitwa na wakati.. Na matokeo ni kuzalishisha wasomi ambao hawana manufaa coz walichokisoma hawawezi kukiapply katika mazingira ya Sasa
Utangulizi
Elimu ni msingi muhimu katika kuleta maendeleo endelevu na ustawi wa jamii na taifa kwa ujumla. Kupitia elimu watu hupata maarifa, ujuzi, na mafunzo yanayowawezesha kujenga uwezo wao wa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya kiuchumi, kijamii, kisiasa na uwezo wa kujenga mustakabali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.