Habari zenu...nilitumiwa sms na wizara ya elimu ya kujaza form za mikopo online....kwa wenye kujua hii process naomba atueleweshe...maana kwenye website ya hlsb sioni category inayotuhusu...
Habari zenu wapendwa.. Naomba mwenye kujua institution zilizo bobea vizuri zinazotoa training za cisco hapa dar es salaam.Niliaply pale ucc ila hawajaanza kufundisha mpaka leo kila nikipiga simu naambiwa bado tupo wachahe.
So natafuta sehemu nyingine,mwenye uzoefu jamani anisaidie nimechoka...
Habari zenu wapendwa..Naomba mwenye kujua institution zilizo bobea vizuri zinazotoa training za cisco hapa dar es salaam.Niliaply pale ucc ila hawajaanza kufundisha mpaka leo kila nikipiga simu naambiwa bado tupo wachahe.So natafuta sehemu nyingine,mwenye uzoefu jamani anisaidie nimechoka kukaa...
Habari zenu wanajf.Naomba kuuliza kwa anayejua hili..tulifanya interview tarehe moja mwezi huu pale utumishi,post zilitangazwa na ofisi ya mwanasheria mkuu,kada zingine zote wameitwa kazini ikiwemo state attorney na law secretary ila kada ya system analyst hawajaweka majina.je ndo bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.