Umri kwanza umeenda ingawa ulikuw ndani ya range yao...pili kama walifanyiwa vipimo vya afya, hususan kuangaliwa kama amezaa au hajazaa basi kuna uwezekano waliona tayar alishazaa...wakamtema
Serikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari...
Hongereni kwa mliochaguliwa kuingia PT. Nidhamu yako ni muhimu sana. Course imeongezwa muda kutoka miezi 9 mpaka mwaka mzima. Mnatakiwa kuwa makini sana kwani kukaa course mda mrefu watu wanachoka na kufanya makosa kizembe. Makamanda waliokuw CCP kwa intake iliyopita wengi wamehamishwa na...
Hizo ni course mbili tofauti...they don't even share classes. Hata mabio they run separately. That is not excuse unless labda hujawah kuwepo CCP na kuona course yao inavyoendeshwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.