Recent content by Blessed Upako

  1. B

    Geor Davie ni nani?

    Mnajichanganya tu, wala hakuna anayemwelewa GeorDavie.... Pamoja na kulitaka jina la YESU lipitayo majina yote. Bila kufanya agano na Yesu akakukabidhi mamlaka na kukupaka mafuta utataja Jina la YESU mpaka mapovu yatakutoka....na pepo litaendelea kukutolea macho. Kabla hamjasema kitu...
  2. B

    Geor Davie ni nani?

    Mlikuwa mnauliza ukweli. Nimewaambieni ukweli kuhusu mtu huyu. Roho zinawauma! Hakuna anayemwabudu mtu wala anayemtetea mtu wala GeorDavie hajitetei na wala hana muda huo. Sasa mpinga Kristo kati ya GeorDavie na wewe ni yupi?. Kinachokufanya upambane naye ni kwa vile amelibeba jina la Yesu...
  3. B

    Geor Davie ni nani?

    Acha kukuza maneno. Ninachojua jamaa alikuwa anampiga mke wake na alijaribu kumchoma moto. Watoto alikataa wasichukuliwe, mwanamke alifanya jitihada zote bila mafanikio. Hilo la kusema amekimbilia ndoa ya mtu mwingine unalijua wewe. Ninachojua huyo mwanamke hajaolewa tena.
  4. B

    Geor Davie ni nani?

    Mhe. Nabii GeorDavie ni mtumishi wa Mungu. Anaijua kazi yake, anajiamini, ni shujaa, anajitambua na anaielewa kazi yake. Anamwakilisha Mungu ipasavyo. Anamwelewa boss wake vizuri na hana mashaka naye. Hajali maneno wala haogopi vita kwa kuwa anamwelewa Mungu aliyemwita na kumtuma. Kama tujuavyo...
  5. B

    Geor Davie ni nani?

    Wajameni Mimi ninamfahamu Nabii GeorDavie vilivyo! Mimi ni mtumishi ninayempenda Yesu kupita maelezo na nimekombolewa kwa damu ya YESU!! Ninataka niwatoe duku duku zenu. Maswali yote niulizeni nitawajibu moja baada ya lingine! Ila kwa wale wenye chuki binafsi, wivu na waongo na wale wanaoamini...
Back
Top Bottom