Recent content by Blessed Tajiri

  1. B

    PostGE2025 ACT Wazalendo waikataa ripoti ya Jaji Chande. Wasema Tume haina Uhuru, ni chombo cha kulinda wahusika

    Shida ya hawa wanakataa udhalimu lakini bado ni sehemu ya udhalimu huo!
  2. B

    KERO Precision Air ni muda gani au lini tutarudi Dar? Mmetuacha hotelini na hatujui hatma yetu!

    Abiria wa ndege ya Precision Air kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam safari yetu ilikuwa leo Jumamosi April 11, 2026 saa saba mchana lakini mpaka sasa hatujui safari itakuwa muda gani! Tumefika airport wanatuambia hakuna ndege, na hawatupi sababu za kwanini hakuna ndege au labda kusema pengine...
  3. B

    'Rais' Samia na wabunge 'wako' mtaliliwa kama anavyoliliwa Bwege au Watanzania watakesha wakisherekea kama Mwaka Mpya?

    🤣🤣🤣 dogo unajiaibisha ujue? Bwege ni wa maana toka kitambo, unajua kwa nini? Hajawahi kuwa mnafiki! Kwake nyeusi ilikuwa nyeusi, nyeupe ilikuwa nyeupe, akiona sehemu haimfai anaenda anakoona kunaendana na misimamo ya kupigania haki na uchangamfu wake tu umemfanya apendwe toka zamani Bwege...
  4. B

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Si nakuwa nimejipanga.... utajaribu kunishika kama nikiwa na ka mkuu ka kuku?🌚
  5. B

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Wapi banaaaaa Mkuu😂😂 lingekuwa nyeti kweli lingekuwa lishaisha mpaka sasa!
  6. B

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Nimesikia kuhusu pini jioni ya leo nikacheka sana (na kuhuzunika). Ni rahisi sana kumtoa mbongo kwenye reli aisee!
  7. B

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Logic yote ikaisha akili ikahamia kwenye mkuyenge? Mmeanza kutafutana😂😂😂 tumeshajua pa kuwakamata sasa
  8. B

    'Rais' Samia na wabunge 'wako' mtaliliwa kama anavyoliliwa Bwege au Watanzania watakesha wakisherekea kama Mwaka Mpya?

    Si ndio maana iko na ' '........ ni mkorogo wa makusudi tu kufanya tuchanganyikiwe
  9. B

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Eti wazee wa logic na akili nyingi safari hii imekuaje?😂🤣🤣 Akili zote na logic zimehamia kwenye mikuyenge? Kutwa kucha kuwakamia wanawake kooni, safari hii mwalimu wetu kipofu kahamia huko kwenu? Kabisa unaambiwa mtu kashikwa bega mali zikaondoka na wewe mzima mzima huyooooo unaamini, kwa kitu...
Back
Top Bottom