Abiria wa ndege ya Precision Air kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam safari yetu ilikuwa leo Jumamosi April 11, 2026 saa saba mchana lakini mpaka sasa hatujui safari itakuwa muda gani!
Tumefika airport wanatuambia hakuna ndege, na hawatupi sababu za kwanini hakuna ndege au labda kusema pengine...
🤣🤣🤣 dogo unajiaibisha ujue? Bwege ni wa maana toka kitambo, unajua kwa nini? Hajawahi kuwa mnafiki! Kwake nyeusi ilikuwa nyeusi, nyeupe ilikuwa nyeupe, akiona sehemu haimfai anaenda anakoona kunaendana na misimamo ya kupigania haki na uchangamfu wake tu umemfanya apendwe toka zamani
Bwege...
Eti wazee wa logic na akili nyingi safari hii imekuaje?😂🤣🤣 Akili zote na logic zimehamia kwenye mikuyenge?
Kutwa kucha kuwakamia wanawake kooni, safari hii mwalimu wetu kipofu kahamia huko kwenu? Kabisa unaambiwa mtu kashikwa bega mali zikaondoka na wewe mzima mzima huyooooo unaamini, kwa kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.