Tatizo la miutopolo mipuuzi ikishazidiwa ma Miko ya vinyeo unakuja na hoja mfu za kumchafua mtu. Malalamiko yako Kama Yana ukweli je hapa ndo sehemu sahihi pa kuyatatua au ni umbea tu?!
Serikali iangalie namna ya kumbeba mtoto ttcl. Ikibidi wapewe punguzo la Kodi ili wajitangaze vema na kulishika solo la mtandao. Ila Sasa Nani was kuyafanyia hayo ikiwa wenye meno ndo wenye hisa ktk makampuni binafsi[emoji24][emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.