Utunzaji wa kumbukumbu ni msingi mkuu wa taasisi yoyote duniani bila ya kumbukumbu taasisi haiwezi kufanya kazi zake kwa ufasaha na inaweza kupelekea kuvuja kwa taarifa za siri za taasisi, kupoteza nyaraka muhimu za taasisi ambazo zinakuwa zimebeba taswira ya taasisi.
Utunzaji mzuri wa...
Hivi kwanini serikali mbaka sasa haitoi ajira kwa data clerks/officer pamoja na kuwepo kwenye muongozo wa NACP Zaidi inawaacha kuwa chini ya wadau na ajira zinatolewa kwa watu wa kada zingine za afya ni kama data officer wanaonekana wanafanyakazi za mradi na sio za serikali?!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.