Ubaguzi mnautafuta wenyewe, all the time kujihisi mnabaguliwa mara kutengwa. Haya maradhi ni mabaya sana.
Bado sijaona watu wakarimu hapa duniani kama waarabu, japo sio wote ila most of them wako poa ukilinganisha na race zingine.
Mimi sina ubaguzi kwa yeyote, ila kuna watu weusi wanajionyesha kabisa kutowapenda waarabu, na hawana sababu za msingi why wanawachukia, maneno ya kipumbafu tu yasio na kichwa wala miguu
Hongera yao, ila haiondoi ubora wa morocco 🇲🇦
No 11 duniani kwa ubora
No 1 Afrika kwa ubora
Nimegundua waafrika wengi walikua upande wa weusi, kwa lugha rahisi huo ni ubaguzi/chuki.
Bado tu mnafikiriaga mmeonewa? Kama uliangalia game ya Morocco na nigeria Morocco wamenyimwa penati ya wazi kabisa lakini mpo kimyaaa, ngoja mwarabu afanye sasa 😄 acheni chuki bwanaa, mpira haupo hivyo
Ona hapa tulichomfanya, sijui kama hakuvunja kiuno, chezea Morocco weweee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.