Wachezaji wa Argentina waliiotea chupa ya maji ya kipa wa England, Jordan Pickford, ambayo ilikuwa na maelekezo yaliyoonyesha upande ambao kila mchezaji wa Argentina alitarajiwa kupiga penati iwapo wakifika katika hatua hizo.
Baada ya kuiona, wachezaji wote wa Argentina walikusanyika kuisoma...
Mkuu, morocco kuondolewa iliniuma sana, ndio the second team kushabikia in the world baada ya Argentina
All in All ufaransa/wakimbia riadha wazee wa mikimbio wamebondwa na kuondolewa, wakakimbilia kushabikia england wakijua wanamtoa bingwa mtetezi 😄😄😄
Semi Final
Argentina 2
England 1
FT
Wafungaji
🇬🇧 Gordon ⚽️ Assist by Rogers
🇦🇷 Enzo ⚽️ Assist by Lapulga
🇦🇷 Lautaro ⚽️ Assist by Lapurga
Final
Mabingwa watetezi 🇦🇷 na 🇪🇸 Spain, juma pili
Nasubiri wenye chuki na roho mbaya kwa morocco,
Hongereni sana morocco
Tumewalipia huku, jana tumempiga ufaransa goli 2-0....na leo tumempiga Uingereza goli 2-1
Final Argentina 🇦🇷 na 🇪🇸 Spain
Morocco tunayoijua vizuri sio ya kuzuia bila kufanya attack, kama umefuatilia game zake ndio utajua morocco sio ile tuijuayo. All in All hongereni wafaransa 😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.