Recent content by BlackPanther

  1. BlackPanther

    SIJAWAHI kuona timu MBOVU afrika na duniani kama morocco

    Ubaguzi mnautafuta wenyewe, all the time kujihisi mnabaguliwa mara kutengwa. Haya maradhi ni mabaya sana. Bado sijaona watu wakarimu hapa duniani kama waarabu, japo sio wote ila most of them wako poa ukilinganisha na race zingine.
  2. BlackPanther

    SIJAWAHI kuona timu MBOVU afrika na duniani kama morocco

    Acha wivu na chuki mwanaume
  3. BlackPanther

    SIJAWAHI kuona timu MBOVU afrika na duniani kama morocco

    Ni CHUKI tu hizo mkuu hakuna kingine,
  4. BlackPanther

    SIJAWAHI kuona timu MBOVU afrika na duniani kama morocco

    Siku zote mwenye chuki hatoboi
  5. BlackPanther

    Final Nigeria vs Egypt

    Mimi sina ubaguzi kwa yeyote, ila kuna watu weusi wanajionyesha kabisa kutowapenda waarabu, na hawana sababu za msingi why wanawachukia, maneno ya kipumbafu tu yasio na kichwa wala miguu
  6. BlackPanther

    Final Nigeria vs Egypt

    Waliongea nini?? Hebu weka clip tumsikie! Shida yenu muda wote mnahisi kuonewa na kubaguliwa, huu ni ugonjwa mbaya sana.
  7. BlackPanther

    SIJAWAHI kuona timu MBOVU afrika na duniani kama morocco

    Kinachokusumbua ni chuki tu, kwahiyo world cup 2022 pia walibebwa! In short umejawa chuki tu kwa waarabu, wala sio morocco tu, pole sana
  8. BlackPanther

    Samuel Eto’o afungiwa mechi nne, atozwa faini ya Tsh. 49.6 Milioni na CAF kwa utovu wa nidhamu AFCON 2025

    Hongera yao, ila haiondoi ubora wa morocco 🇲🇦 No 11 duniani kwa ubora No 1 Afrika kwa ubora Nimegundua waafrika wengi walikua upande wa weusi, kwa lugha rahisi huo ni ubaguzi/chuki.
  9. BlackPanther

    Wamorocco wanunua tiketi zote kwenye mechi dhidi ya Morocco na Nigeria AFCON

    Bado tu mnafikiriaga mmeonewa? Kama uliangalia game ya Morocco na nigeria Morocco wamenyimwa penati ya wazi kabisa lakini mpo kimyaaa, ngoja mwarabu afanye sasa 😄 acheni chuki bwanaa, mpira haupo hivyo Ona hapa tulichomfanya, sijui kama hakuvunja kiuno, chezea Morocco weweee...
  10. BlackPanther

    Samuel Eto’o afungiwa mechi nne, atozwa faini ya Tsh. 49.6 Milioni na CAF kwa utovu wa nidhamu AFCON 2025

    Wanajua sawa, ila kila timu ina mbabe wake, senegal anawaonea zaidi wanaopaki basi, wasiokaba ngoja akutane na best team in afrika
  11. BlackPanther

    Wamorocco wanunua tiketi zote kwenye mechi dhidi ya Morocco na Nigeria AFCON

    Sasa kuna shida gani wakinunua zote wenyeji! Na utakuta serikali imewanunulia tiketi
  12. BlackPanther

    Final Nigeria vs Egypt

    Sawaa, ila nimegundua wengi wenu hamuwapendi waarabu, ila uzuri wanazidi kupasua mwamba nyie mtabaki na huzuni. Acheni chuki
Back
Top Bottom