hapana ndugu tedo, leo nimejaribu wasiliana na dr waliosoma vyuo tofauti; Muhimbili-MUHAS kama hujasoma PCB hugusi MD, Bugando-CUHAS wapo waliosoma CBG wanasoma. vyuo vya africa kusini wanataka A level chemistry na Biology kusomea udaktari wa binadamu. hivyo PCB,CBN,CBA,CBG anachukuliwa...
thanks alot for your constructive ideas, nishaulizia kozi nayataka fanya, moja ya kigezo cha kujiunga lazima uwe umefanya A level physics,na hakuna jinsi unaweza join ndo ukaisoma pale. hivyo natakiwa nifaulu kwanza kabla sijajoin.
Nishakata shauri tayari, inachangamoto zake, nakabiliana nazo...
asante kwa mawazo yanayojenga. ntawapigia simu.
mh king`asti ule ucheshi wako wa MMU kumbe unatumika hadi huku elimu forum? teh teh! vp Mr. nice alikuimba wewe nn kwenye wimbo wake wa king`asti?
asante kwa info. vigezo ninavyo. nilifanya masomo kumi O level, nilipata A na B kwa yote. A level nilipata C flat kwa CBG na pass ya GS.
ni habari nzuri kama necta wanaruhusu
asante, ndugu sisi watu wa mikoani wengi wetu tukiwa sec tunakuwa na exposure ndogo sana,ndo maana wengi tukifika university tunajutia maamuzi yetu. wapo wengi sana, nakumbuka nilishawahi tembelea rafiki zangu wakati wanasoma chuo kikuu kishiriki cha muhimbili wengi walikuwa wanajuta walikosea...
mbona umeanza kunitisha mapema? kuhusu uwezo ondoa shaka namshukuru Mungu alinipa IQ kubwa (though siyo superior IQ). nahakika ntafaulu tu. nshaanza kusoma mechanics,nafurahia kurusha ndege na kusafiri hadi mwezini nikiwa mezani home kwangu. taratibu zikiruhusu nafanya, ila nilijaribu pitia...
siyo kuresit ndugu, sikufanya physics A level. nilisoma mchepuo wa CBG i.e chemistry,biology na geography. pia nilifanya GS kama sheria kwa wote. nataka nifanye A level physics necta exam. ndiyo nauliza kama naruhusiwa na taratibu za necta. asante
Heshima kwenu wadau.
naulizia ukomo wa principle subjects ambazo mtu anaweza fanya kwa form six necta exams.
nilimaliza form 6 2004, nilifanya mchepuo wa CBG na kufaulu vyema kuendelea university na sasa nimeajiriwa. ila kutokana na mapenzi yangu nataka kusoma kitu roho inapenda, ila natakiwa...
mh. lamech uharamia wako unafahamika in and out,
Ila atakuja mpum.b.a.vu humu anasema tunaochangia humu tunatamani ubunge wake, hapana. binafsi naitakia mema nchi yangu, huyu mtu ni hatari pia amejenga urafiki na rais, hatutaki rais wetu asafiri kwenda nje na watu waliobeba madawa ya kulevya...
inaonekana upo jirani na huyo haramia, nilikuwa rorya 2010 wakati Wote WA uchaguzi mkuu tokea kampeni, niliwauliza bodaboda VP huyu jambazi mnamchagua c ng'ombe ndo atawamalizia kabisa? wakaniambia eti wapambe wake wanadai ameahidi hata Iba tena ng'ombe ndani ya rorya,
labda unisaidie wewe...
wewe inaonekana ni kijana wake WA kazi, na hiyo I'd usijekiwa ndo mmoja WA wale wasomali mnaomletea siraha aziuze nyie anawapelekea ng'ombe alizokwiba.
huyu ni jambazi sugu toka enzi, IPO wazi. watu wanasema Ili kuiokoa jamii wewe unaleta utetezi WA kijinga.
ajabu na kweli mikutano ya ccm...
anamtandao wake WA wizi WA ng'ombe,uuzaji haramu WA siraha na biashara za magendo. yeye ndo bosi Tanzania, Kenya ndo wale wanaoendesha biashara ya betr za everred( walimpa gari lililokamilika la kufanyia mikutano wakati anagombea ubunge), wengine wapo Burundi,Rwanda,Sudan I na Somalia.
hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.