Kwa kifupi:
Air Tz Mwanza hawatambui boarding pass za mtandaoni, wanakulazimisha upange tena foleni ya kaunta hata kama hauna mizigo.
Full:
Juzi nilikuwa nasafiri kutoka Mwanza na Air Tanzania. Usiku kabla ya safari nilitembelea tovuti ya ndege nika 'check in' kwa mtandao ili kuepuka kadhia ya...
Habari wakuu,
Nipo kwenye tovuti ya polisi ya kuomba hati ya tabia njema, hapa: Police Clearance
Sehemu zote naweza kujaza isipokuwa kwenye sehemu inayodai 'Application letter reference number' na 'application letter reference date'. Hizi ni barua gani na namuandikia nani? Msaada tafadhali.
Tatizo la kujichukulia sheria mkononi ni kwamba unaweza kumhukumu mtu ambaye hana hatia. Wanaoshutumiwa huwa hawapewi nafasi ya kujitetea. Ndio maana zimewekwa mahakama ili ziweze kutoa haki bila kuongozwa na jazba au hisia kali. Huyu raia ameshauwawa hatuwezi tena thibitisha kama kweli alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.