Recent content by Black Opal

  1. Black Opal

    Wachina wakamatwa maeneo ya Oysterbay wakiwa na takriban Tsh. Bilioni 6 taslim zikiwa zimefichwa ndani ya nyumba

    Leo majira ya saa 5:30 asubuhi, Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, umefanikiwa kuwatia mbaroni raia wa kigeni wenye asili ya Kichina wakiwa na kiasi cha takriban Tsh. Bilioni 6 taslimu. Fedha hizo zilikutwa zimefichwa katika...
  2. Black Opal

    Kama Tanzania, Kanisa Katoliki liliuonya sana utawala wa Maduro Venezuela lakini walikaza vichwa! Sikio la kufa kama Malawi!

    Maduro ni kama vile ana undugu na Samia, maana tunapita mulemule. Ni kama Mungu anatonyesha ya mbele na kututaka tuchukue hatua haraka ili tusije kuharibikiwa kama wao. Wananchi kuanza kumwomba Trump aje avamie Tanzania sio ishara nzuri, yaani wamechoka kiasi cha kutaka "Shetani" aingilie kati...
  3. Black Opal

    Ipo siku watakubali na kujuta waliyofanya Oktoba 29 kama Mkapa alivyojutia ya Januari 2001? Waliohusika watawajibishwa?

    Kwamba sisi wengine ni vipofu hatuoni udhalimu wa Samia na washirika wake? Kwamba wao ndio walikuwa polisi na kutuua? Kuna wakati mpaka unawaza watu wa aina yako wana nini kichwani? ni Funza au?
  4. Black Opal

    Ipo siku watakubali na kujuta waliyofanya Oktoba 29 kama Mkapa alivyojutia ya Januari 2001? Waliohusika watawajibishwa?

    January 27, 2001 yalifanyika maandamano yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CUF kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa Oktoba 2000 uliyompa ushindi mgombea wa CCM Dkt. Amani Abeid Karume dhidi ya mgombea wa CUF, Maalim Seif Hamad. Kutokana na maandamno hayo kulitokea vifo kadhaa...
  5. Black Opal

    PostGE2025 Mnaosema ni wananchi ndio waliochoma vitu na kuiba mali za watu mna uhakika? Kwanini sio polisi waliovalia kiraia?

    Serikali na vibaraka wao wote baada ya maandamano wakati wa uchaguzi wamekuja kulaumu wananchi ndio waliochomo moto sheli, biashara za baadhi ya wasanii pamoja na magari ya watu mbalimbali. Swali ni kwamba wana uhakika gani kuwa waliofanya uharibifu huo ni wananchi? Kwanini sio polisi hawa hawa...
  6. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Kwa ninavyoona, ni kuwa watakuja kusema alikuwa na document feki, hana uraia wa Marekani.... kama sivyo basi patawaka moto
  7. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Dah, nimecheka sana🤣🤣. Hapa sasa wamefanya hata zile nchi ambazo zilikuwa hazifuatilii nini kinaendelea na wao watatega masikio, presha iongezeke!
  8. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Wanazidi kuharibu kila siku, kutakuwa kunawaka moto huko... kila siku vinabuma😂😂😂
  9. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Yaani colabo linaenda kuwa amazing, hata wale walikuwa wamepuuza wataingia kuongeza nguvu
  10. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Wamempiga chura teke! Nasubiri kwa hamu kuona watakuja na maelezo gani baada ya huo uchunguzi.... na utaona vile utakavyokamilika fasta kabla ya maandamano
  11. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Yaani na kila mpango wanakuja nao ni mbovu kuliko uliopita. Inaonesha wamepaniki sana kiasi kwamba hakuna anayefikiria tena, kila kitakachoibuka kinaletwa mtaani pwaaaa!
  12. Black Opal

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Wakuu.... Samuya alitupa kete yake kwenye hotuba ya ufunguzi wa bunge, akiamini atawatuliza wananchi wanaachane na suala la maandamano, wakubaliane na serikali ambayo hawakuichagua, maridhiano yafanyanyike na mambo yasonge kama hakuna kilichotokea. Yaani mpaka akatoa msamaha wa uongo na kweli...
  13. Black Opal

    PostGE2025 Huko BAKWATA kama ilivyokuwa CCM nako hakuna mwenye akili akashauri vizuri? Waandamanaji ndio wamesababisha mauaji na sio Polisi?

    Yaani sasa hivi kila ukiingia mtandaoni unapigana na hisia zako usije kupata presha kwa hasira! Aaaaaa! Wazee kabisa ambao vijana wanategemea muwe na busara kushauri mambo vizuri mnajitokeza kuongea upuuzi bila soni hata kidogo usoni! Pia soma PostGE2025 - BAKWATA na taasisi za kiislamu...
Back
Top Bottom