Recent content by BLACK MOVEMENT

  1. BLACK MOVEMENT

    Tetesi: Yadaiwa Abdul and Company, amepewa eneo la mnada wa Karatu ajenge Hoteli ya kitalii, Mnada unahamishwa

    Umofia kwenu wakuu. Kuna taarifa za kutoka Chanzo cha kuamimika kwamba Halimashauri ya wilaya ya Karatu imempatia mtoto wa Samia, Abdulu eneo la mnada wa Karatu ili ajenge Hoteli. Kwa mlio wahi fika karatu mtakuwa mnajua lile eneo la mnada ni maarufu sana, sasa ni kwamba mtoto pendwa kapewa na...
  2. BLACK MOVEMENT

    Tetesi: ACT Wazalendo, ilikutana na Tume ya Jaji Chande na wakaomba isipigwe picha?

    Nimepewa hii habari na mtu alie karibu sana na mmoja wa wa viongozi wa ACT Wazalendo, na nimeileta kama tetesi ingawa nimehakikishiwa kwamba ni ukweli kwa asilikia 100, akaniambia Viongozi walisha kutana na tume ya Chande ila shariti kubwa ni walitaka isipigwe picha, na alie shinikiza ni Katibu...
  3. BLACK MOVEMENT

    Lissu kuondolewa uenyekiti ilitabiriwa mapema sana.

    Nafuatiliaga Coment zako zimekaa kishoga sana, hazieleweki, kwani ni lazima uwe una coment kila post?
  4. BLACK MOVEMENT

    Aliewahi kumuona Mwambukusi wa TLS akiwa frontline kwa jambo lolote lile anijuze, Tofauti na kule Facebook na X

    Kuna siku nilimuuliza akanipiha Block, Mwambukusi ana bweka tu kwenye socia media ila hutakaa umuone Mahakamani au kokote kule, Maraisi wemgine wa TLS walio tangulia tulikiwa tunawaona Mahakani pia, ila MWambukusi ni tofauti anaongea sana mnoa ila mulete kwemye vitendo. Wakili kama Kibatala ni...
  5. BLACK MOVEMENT

    Tetesi: Mange Kimambi: Ujambazi wa rasilimali za Tanzania unaendelea kwa kasi

    Anaandika MANGE DADA WA TAIFA KUPITIA PAGE YAKE YA X MANGE ANAANDIKA👇🏾👇🏾 UJAMBAZI WA RASILIMALI ZA TANZANIA UNAENDELEA KWA KASI- AIRPORT YA KIA IMEONDOKA TAYARI Kwa mtakaokumbuka mtakumbuka kuwa kipindi cha kampeni niliwaambia kuwa Aiport ya KIA inaenda kuuzwa kama ilivyouzwa bandari. Kuna...
  6. BLACK MOVEMENT

    Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    Unaweza kugoma au kuandamana? au wewe hayakuhusu?
  7. BLACK MOVEMENT

    Hata Robert Mugabe alianza kama Samia, kutukana wakina Obama, Tony Blair, kilichotokea kila mtu anajua

    USha gusia utekaji? Hao wazungu ndio wanaagiza watu watekwe? nyie mna ujinga mwingi sana
  8. BLACK MOVEMENT

    Hata Robert Mugabe alianza kama Samia, kutukana wakina Obama, Tony Blair, kilichotokea kila mtu anajua

    Wakati Mugabe anatwaa Mashamba kwa ya Wazungu na Mabeberu wakawa wana mkosoa Mgabe, naye alikuwa anatafuta sifa kwa wanachama wa ZANUPF yake alikuwa anawahutubia na kuwaambia wale hawawezi kututisha kitu, Sisi ni nchi huru kabisa, Wale ni wakoloni tu. Ndani ya mwaka 1 Pesa ya Zimbabwe ikikuwa...
  9. BLACK MOVEMENT

    PostGE2025 Press ya Father Kitima imeyeyesha Propaganda za Rais Samia leo

    Wale wamekula viapo vya kulindana, ni kama wauza Unga
  10. BLACK MOVEMENT

    Padre Kitima aitumia TEC vibaya

    Unasemaje mvaa Kobasi? Nyie wavaa kobasi hakuna kitu kingine mnajua zaid8 ya Udini.
  11. BLACK MOVEMENT

    2001 TEC ilikuwepo, je, walitoa matamko na press za mara kwa mara kama ilivyo mwaka huu?

    Wewe haukuwepo utoe? au wewe umekuja Duniani kufanyaje?
  12. BLACK MOVEMENT

    Mwigulu ni Propokaji/ Mpenda sifa na asiyejua kupangilia maneno, wasipomnyang'anya mic atawachoma sana

    Huyu Ndugu Samia sijajua nani alimshaur8 amteua Mwigulu Nchemba, Huyu Mwigulu hana tofauti sana na Makonda kwenye swala la Uropokaji, kupenda Sifa na kuto jua au kuto pangilia maneni ya kuongea. Mwigulu na Makonda ukiwapatia Mic lazima uinamishe kichwa chini make kuharibu ni dakika zero. Tangu...
  13. BLACK MOVEMENT

    PostGE2025 Press ya Father Kitima imeyeyesha Propaganda za Rais Samia leo

    Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivyo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwanini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine. Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa...
Back
Top Bottom