Umofia kwenu wakuu. Kuna taarifa za kutoka Chanzo cha kuamimika kwamba Halimashauri ya wilaya ya Karatu imempatia mtoto wa Samia, Abdulu eneo la mnada wa Karatu ili ajenge Hoteli.
Kwa mlio wahi fika karatu mtakuwa mnajua lile eneo la mnada ni maarufu sana, sasa ni kwamba mtoto pendwa kapewa na...
Nimepewa hii habari na mtu alie karibu sana na mmoja wa wa
viongozi wa ACT Wazalendo, na nimeileta kama tetesi ingawa nimehakikishiwa kwamba ni ukweli kwa asilikia 100, akaniambia Viongozi walisha kutana na tume ya Chande ila shariti kubwa ni walitaka isipigwe picha, na alie shinikiza ni Katibu...
Kuna siku nilimuuliza akanipiha Block,
Mwambukusi ana bweka tu kwenye socia media ila hutakaa umuone Mahakamani au kokote kule, Maraisi wemgine wa TLS walio tangulia tulikiwa tunawaona Mahakani pia, ila MWambukusi ni tofauti anaongea sana mnoa ila mulete kwemye vitendo.
Wakili kama Kibatala ni...
Anaandika MANGE DADA WA TAIFA KUPITIA PAGE YAKE YA X MANGE ANAANDIKA👇🏾👇🏾
UJAMBAZI WA RASILIMALI ZA TANZANIA UNAENDELEA KWA KASI- AIRPORT YA KIA IMEONDOKA TAYARI
Kwa mtakaokumbuka mtakumbuka kuwa kipindi cha kampeni niliwaambia kuwa Aiport ya KIA inaenda kuuzwa kama ilivyouzwa bandari. Kuna...
Wakati Mugabe anatwaa Mashamba kwa ya Wazungu na Mabeberu wakawa wana mkosoa Mgabe, naye alikuwa anatafuta sifa kwa wanachama wa ZANUPF yake alikuwa anawahutubia na kuwaambia wale hawawezi kututisha kitu, Sisi ni nchi huru kabisa, Wale ni wakoloni tu.
Ndani ya mwaka 1 Pesa ya Zimbabwe ikikuwa...
Huyu Ndugu Samia sijajua nani alimshaur8 amteua Mwigulu Nchemba, Huyu Mwigulu hana tofauti sana na Makonda kwenye swala la Uropokaji, kupenda Sifa na kuto jua au kuto pangilia maneni ya kuongea.
Mwigulu na Makonda ukiwapatia Mic lazima uinamishe kichwa chini make kuharibu ni dakika zero.
Tangu...
Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivyo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwanini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine.
Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.