Recent content by BLACK MOVEMENT

  1. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu afunga Mkutano wa Makambi wa Waadvenstista

    Niliacha Usabato wakati walipo Mkalibisha Mrisho Gambo kupiga kampen kanisani pale Arusha 2020, kanisa la Bulka, wakati anagombe Ubunge na Lema, baada ya hapo sikuwahi kanyaga kanisani tena, Wasabati ni dhehebu ka wapumbavu
  2. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu afunga Mkutano wa Makambi wa Waadvenstista

    Hii ni moja ya sababu za kuachaa na Usabato, nilizaliwa kwenye usabato na muda wote tuna hubiriwa kupingana tu na Roman Catolic, ila ukweli nimekuja kugundua Usbato ndio upagani
  3. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Malls za nini? Ni Tanzania tu ambako raia badala wapiganie huduma bora hasa za Afya na elimu bora kwa watoto wao wako busy kuomba wajengewe stendi, mara vituo vya polisi na kadhalika
  4. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Hawajachemaka kitu, Bongo ujinga mwingi sana, shids ni mipangi miji ya kisiasa. Huko Dunuani kuna shule ziko katikati mbona hawabomoi?
  5. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Hii ni kwa mujibu wa Bongo? Na huko Duniani iko hivyo? Ama
  6. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya maeneo yanayo weza leta maafa makubwa sana, kwenye Mvua za Elinino, unaweza ongezea

    pesa zitasaidia nini kama maafa yatatotokea na watu kupoteza maisha
  7. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya maeneo yanayo weza leta maafa makubwa sana, kwenye Mvua za Elinino, unaweza ongezea

    1. Mto wa Mbu, hili eneo ni hatari na nusu, na kama kwenye mvua hizi zitakuwa sawa au zaidi ya zile za 1997 basi tujiandae na maafa. Ziwa Manyara limejaa tope na sehemu pekee ya kumwaga maji itakuwa ni mto wa Mbu pale mjini, ukiachana na hilo kitalamupale Mto wa Mbu hapafai kuishi make pia...
  8. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Wabunge wote wa Mkoa wa Singida wamekuwa hawataki Lissu aachiliwe, too sad

    Leo Wekend nilipata wasaa wa kukutana na mtu wangu wa idara za juu, katika maongezi kanihabarusha jambo la ajabu sana kuhusu Lisu, kwamba swala la Lisu lina shinikizo kubwa sana la Kisiasa, kuna pande mbili ndani ya watu wa juu CCM, moja haitaki aachiliwe na nyingine ikisema aachiliwe tu. Ila...
  9. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi haturidhishwi na utendaji wa Afisa Kilimo Wilaya ya Magu, Kata ya Lubugu

    Anzisha duka kama lake, au hapo Magu sogea hata Mwanza ununue Mbolea, mmekalia lawama tu wajinga nyie,
  10. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Mazingira ni maalumu kwetu tunaomba yapewe uwakilishi kwa kipekee Bungeni

    Wewe ni mkulima? Alie kuambia ili ulime au ufuge unahitaji uwakikishi Bungeni ni nani? Wabongo tuna vituko sana, full time visingizio.
  11. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kuna unyakuaji mkubwa sana wa Aridhi unakuja ambao haujawahi shuhudiwa tangu vizazi na vizazi. Viji

    Mwaka jana nilisema baada ya Uchaguzi kuisha kutajuwa na zoezi kubwa sana la kunyakua Aridhi na kukabidhi Wazungu na Waarabu. Sana Waarabu. Wilaya kama Longido inaweza poteza robo hadi nusu ya Aridhi yake kwa Waarabu, Hawa wanataka wainganishe na Loliondo. Simanjiro inapunguzwa sana na kupewa...
  12. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Urusi isha jichokea, Ukreni anajipigia tu, Wewe ni mjinga sana
Back
Top Bottom